A FANTASTIC DAY AT KASO 25 MAY 2013

Monday, May 27, 2013
 MC James Jakson akiwakaribisha washiriki.

 Washiriki wa workshop wakisikiliza kwa makini

 Mkurugenzi wa KASO , Baby Baraka akibadilishana mawazo na Mgeni Rasmi Mkurugenzi wa Star International School Madame Jasca.
 Brother Nziku akielezea nini amefaidika na workshop hii toka KASO.

 Waandishi wa habari nao hawakuwa nyuma kuchukuwa habari muhimu

Kiongozi wa mafunzo Hemedi Hatibu akitoa Mada.

 Kila kitu kilikuwa na raha yake...
 Mshuhuda Madame Marge akitoa ushuhuda juu yakile alichovuna toka KASO.


 Nini walifundisha wahitimu? Mkufunzi James Jackson akielezea kwa makini. 

 wakati wakupewa vyeti ukawadia














 Mgeni rasmi akiongea na wahitimu baada yakuwagawia vyeti.





 Wakufunzi wakipata picha ya pamoja na mgeni rasmi

 Wahitimu wakipata picha ya pamoja na mgeni rasmi


2 comments:

{ Unknown } at: May 29, 2013 at 2:56 AM said...

It was nice asikwambie mtu but huu ni mwanzo tu

{ (KASO) Kjana Amka Sasa } at: May 29, 2013 at 3:12 AM said...

Sure James! How if we make it again, could you miss it?

Post a Comment